swc_luk_text_reg_Uncomplete/01/26.txt

1 line
444 B
Plaintext

\v 26 Na mwezi wa sita wakati ya mimba, malaika Gabrieli bari mutuma na Mungu ku muji wa Galilaya kwa jina ya Nazareti. \v 27 Kwa kijana mwana muke arikuya bekira muchumba wa wa Yusufu, wa mu kizazi ya Daudi. Bikira huyu njina yake ilikuya Maria. \v 28 Malaika arikuya kwake ku mwambia: «Salamu, kwako kwa weye Mungu arikupa neema nukubua, Bwana eko pamoja naweye.» \v 29 Sababu ya neno hiyi arisikitika sana na akaji uliza ju ya meneno hiyi.