swc_luk_text_reg_Uncomplete/03/21.txt

1 line
258 B
Plaintext

\v 21 Kisha ikafika, wakati batu balibatiziwa, na Yesu pia alibatiziwa. Na wakati aliomba, mbinguni ikafulika. Na roho mutakatifu alishuka yulu yake kama njiwa. \v 22 Na sawiti ilikuya toka mbinguni, «Weye ni mtoto wangu mupenwa, ndani yako niko na furaha»