swc_luk_text_reg_Uncomplete/02/25.txt

1 line
293 B
Plaintext

\v 25 Kumbe kuli kuyaka mze moya anaitwa Simeoni. Mutu uyu ali kuyaka wahaki na ku ogopa mungu sana ali kuya eko na ongolea pale Israeli ata faridiwa na roho mutakatifu ali kuya yulu yake. \v 26 Bali mufuliaka maonyo kwa njia ya roho muta katifu ya kusema hawezi kufa asiya ona masia wa Bwana.