swc_luk_text_reg_Uncomplete/17/34.txt

1 line
374 B
Plaintext

\v 34 Nina baanibiya, busiku ya leo, kutakuwa batu bawili batakuwa ku kitanda. Moya ataenda na mwengine atabakiya. \v 35 Banamuke bawili batakuwa natwanga fasi moya moya ataenda na mwengine atabakiya. \v 36 Kutukuwa batu bawili ndani ya shamba, moya ataenda na mwengine atabakiya. \v 37 Baka mulomba: wapi bwana? akasema: kwenye kuna patika mayiti, ni pale ndeke batakutana.