swc_luk_text_reg_Uncomplete/03/18.txt

1 line
269 B
Plaintext

\v 18 Tena na maonyo mingi, Yaone ali ubiri neno la Mungu Habari njema. \v 19 Wakati Herode ali kemewa kwa Yoane ju ya ku wawa Herodia, bibi wa ndugu yake, na ma baya ingine pia Herode alikuwa na fanya. \v 20 Na aliongeza ibi mu ma baya yake, ali funga Yoane mu gereza.