swc_luk_text_reg_Uncomplete/06/46.txt

1 line
345 B
Plaintext

\v 46 Kwa nini mu na niita "Mfalme, Mfale", na hamufanye enye na baambia? \v 47 Mutu yote mwenye anakuya kwangu, mweny anasikia neno yangu, na anaitia ku kazi, nitabaonyesha na ule mutu mwenye anafanana naye. \v 48 Ana fanana na mutu mwenye wakati nvula kabambi na mupepo ya ngufu inapika, haikuweza kuaangusha nyumba sababu ilijengewa muzuli.