\v 49 \v 50 Pale Yesu eko nasema il, mutu wakutoka kwa mukubwa wa sinagogi akasema : «Mtoto mwana muke wako anakufa. Umu ache mwalimu aende yake.» Lakini pale Yesu alisikia ile aka mwambiya baba yake : «Usi sikiye boka kuwa tu na imana, na