swc_luk_text_reg_Uncomplete/08/47.txt

1 line
292 B
Plaintext

\v 47 Mwana muke ule akasikiya haya akashindwa kufichama, aka anza kutetemeka, aka anguka chini mbele ya Yesu, akasema mbele ya batu bote vile ali bamba ku kanjo ya Yesu na vile ali pona paka pale. \v 48 Kisha Yesu akasema naye: « Mtoto yangu mwna muke, imani inaku ponesha wende na salama»