swc_luk_text_reg_Uncomplete/02/06.txt

1 line
259 B
Plaintext

\v 6 Wakati bangari pale, ika enea wakati wake wakuzala. \v 7 Akazala mtoto mwana ume, kuzala kwake kwa kwanza, aka mu vwika na kumufunika bya baridi na kumu larisha mu kimbao mwa kurisha ba nyama, juu hakupata chumba ya kuripia mu nyumba kuna fikiaka bageni.