swc_luk_text_reg_Uncomplete/23/23.txt

1 line
320 B
Plaintext

\v 23 Bote bakaendeleya kulalamika na nguvu sana, bamu tundike Yesu kumusalaba, na kulalamika kwabo kuka mukosesha pilato kimya. \v 24 Na Pilato akikata mambo vile bote balipenda. \v 25 Aka acha Barabasi mufunguwa yule aliye uwa na aka bapatishiya Yesu kumi kono yabo , kwasababu ba fanye naye gisi bopeke banapenda .