swc_luk_text_reg_Uncomplete/23/13.txt

1 line
254 B
Plaintext

\v 13 Pilato akaita tena bakuhani bote na ba chungazi ya batu. \v 14 Aka baambiya mwenye muna nileta mutu uyu na muna sema eko na danganya batu, namuliza mbele yenu, lakini sione atakosa moya ta kumupa mutu uyu mali pizi ya mambo yote muko na mustakiya.