swc_luk_text_reg_Uncomplete/23/11.txt

1 line
267 B
Plaintext

\v 11 Herode na ba askari bake baka mucheka sana Yesu na baka muzasau, baka muvalisha nguwo moya ya muzuri kama vile mufalme, kisha baka murudisha kwa Pilato. \v 12 Kutokeya siku ile Herode na Pilato ba kanza kusikilizana, kwa sababu toka zamani bali kuwaka bahaduyi.