swc_luk_text_reg_Uncomplete/23/08.txt

1 line
314 B
Plaintext

\v 8 wakati Herode ali mona Yesu aka furayi sana kwa sababu alisikiya abari ya Yesu na toka zamani alikuwa naniya kumuhona, alikuwa nawazakama Yesu atafanya miugiza mbele yake. \v 9 Kisha Herode aka miliza Yesu,maulizo mingi lakini Yesu akamujibu ata neno moya. \v 10 Bakubwa pale baka musitaki sana na kulalamika.