swc_luk_text_reg_Uncomplete/21/01.txt

1 line
447 B
Plaintext

\c 21 \v 1 Yesu aka angaliya, akaona bata jiri bana sibama kwa jili ya kuto wa sadoka. \v 2 Na aka ona tena mwanamake moya mujane masikini, naye aka sibouma akito wa bipande mbili byafeza. \v 3 Yesu aka sema, kweli nina bambi ya kama mwanamuke uyu mujane masikini ana towa feza mingi kupita bantu bote. \v 4 Kwasaba haba bote bana towa peza yenye we abana nayo faida, la kini mwana muke mujne uyu masikini, ana towa feza yote amayo ilipasha yake.