swc_luk_text_reg_Uncomplete/19/22.txt

1 line
272 B
Plaintext

\v 22 Muheshimiwa akamwambiya: na kuhukumu kufwatena na masema yako, mutumishi mubaya. Ulijuwa kama niko mutu mukali, na bebaka bile sikutumikiye na miye na vunaka bile sikupande. \v 23 Sababu gani haukuweke pesa yangu mu mbeki, juu kwa kurudi kwangu niichukuwe na faïda?