swc_luk_text_reg_Uncomplete/19/13.txt

1 line
405 B
Plaintext

\v 13 Akiita watumishi kumi kati ya watumishi wake na aka wapa pesa kumi, na akasema: « Muitumikishe mpoka nita rudiya.» \v 14 Lakini wakaaji wa inchi walimuchukiyaka, na atuma wajumbe nyuma yake na kusema: «Hatupedi mutu uyu atawale juu yetu.» \v 15 Akafinika kwa kusudi kwake kisha kupokeya ufalme wake akaamba watumisha atiya pesa, sababu ya juwa ngisi kila mumoja ilipo tumikisha na kupata faïda.