swc_luk_text_reg_Uncomplete/19/11.txt

1 line
292 B
Plaintext

\v 11 Vile walikuma nasikiya iyi maneno, akaendeleya kusema na leta mufane, sababu alikuwa karibu na Yerusalema, na walikuwa na amini ya kwamba ufalme wa mbingu ilipasha kutoka mara moya. \v 12 Alisema tena: «Mutu wa heshima alienda kwa inchi ya mbali kwa kupenda ufalme na ata rudiya nyuma.