swc_luk_text_reg_Uncomplete/18/13.txt

1 line
345 B
Plaintext

\v 13 Lakini mulipisha kodi, aka simama kwa mbali, haku weza hata ku angaliya yulu, lakini alipiga kifuwa aki nungunika aseme: Mungu uni urumiye, niko mwenye zambi. \v 14 Na waambiya, uyu mutu aka alirudiya kwake akiwa ame urumiwa kuliko mwenzake, ju kila yeyote anaye ji pandisha ata shushwa, lakini yeyote mwenye kuji shusha ata pandishiwa»