swc_luk_text_reg_Uncomplete/17/20.txt

1 line
215 B
Plaintext

\v 20 Bafarisaya bakamuuliza kuhusu kuya kwa ufalme wa Mungu, alijibu na kusema: ufalme wa Mungu hautakuya kwa kuonekana na macho. \v 21 Habata sema augaliya hapa wala kule: Angalieni, ufalme wa Mungu uko kati yenu.