swc_luk_text_reg_Uncomplete/11/33.txt

1 line
561 B
Plaintext

\v 33 Akuna mutu mwenye ata washa tala na kaitiye dani ya giza inone kane ao chini ya kitunga (kikapo). Lakini kiitia yulu yakitu dju mutu yote mwenye ata ingiya aone mwangaza . \v 34 Hisho ya ko ni tala ya muili kama lishoyako iko muzui muili yako muzima ina yale na mwangaza. \v 35 Lakini salisho yoko inagondja, mwili ya itayala na giza. Kihunga ayo sana kusudi mwangaza kwako isikwe giza . \v 36 Kama basi muili ya ko muzima ina yala na mwangaza bila kipande ya giza, kisha mui liyako muzima ita kwa sawa tala yenye iko na ngaza sama kabisi ndani yako"