swc_luk_text_reg_Uncomplete/11/24.txt

1 line
409 B
Plaintext

\v 24 Kama pepo mabaya ma toka dani ya mutu anaendaka fasi yenye akuna mayi ( fasi yaku kauka) dju ya kupumuzika alikaza, aka sema : " ndarudiya ku nyamba yangu kwenye mina toka . \v 25 Akirudiya , alikutana nyumba yaku fagiliwa na inakwa muzuri. \v 26 Kisha akaenda beba ma pepo saba ya makali ku mushinda na balikuya bote kui kala pale kisha na hali ya mutu aka kwa mubaya kushinda ile ya mara kwanza.