swc_luk_text_reg_Uncomplete/11/14.txt

1 line
242 B
Plaintext

\v 14 Badaye , Yesu akafukuza pepo mubaya yenye ilikuwa kwa bubu. Kisha pepo mu baya ikatoka , akasema. Bikundi bya batu balishangala. \v 15 Lakini begeni balitsheka: "ni kwa belzebul mukubwa wa mapepo mubaya ndjo kwenye alifukuza mapepo"