swc_luk_text_reg_Uncomplete/10/40.txt

1 line
347 B
Plaintext

\v 40 Yeye Marta, alikuwa na kazi mingi ya kupita chakula. Akakwenda kumuona Yesu, akisema "Bwana, hili akufanye kitu kuona dada yangu ananiachia kazi mimi peke? umupe oda aye anisaidiye. \v 41 Bwana akamujibu: Marta, Marta, unatesua juu ya vitu mingi, \v 42 Kitu moya tu inayo faida. Ndugu ya Mariamu alichaguu iliyo mzuri, yenye ahitoshwa kwake.