swc_luk_text_reg_Uncomplete/10/25.txt

1 line
339 B
Plaintext

\v 25 Kulikua mwalimu wa sheria, ya kuyaudi, akakuya mujaribu, akisema bwana nafanye je mipate uzima wa milele? \v 26 Yesu akamujibu: sheria imusema nini? unaisoma namna gani? \v 27 Akasema na kijihi upende Mungu kwa moyo wako, kwa roho, na nguvu na akili yako, na ndungu ya kama wewepeke. \v 28 Unajibu mzuri, lakini fanya ile na utaishi.