swc_luk_text_reg_Uncomplete/08/51.txt

1 line
361 B
Plaintext

\v 51 Pale balifika kule ku nyumba, alika taza batu bote kwingiya mu nyumba. Akaingiya paka na Petro, Yaone na Yakobo pamoya na baba na mama wa mtoto. \v 52 Bale bote bali kuwa ndani ya nyumba bali anza kuria na kulalamika juu ya mtoto. Lakini Yesu akasema «Mwache kuria, analala, asikufe.» \v 53 Baka cheka Yesu na kazarau juu bo bali ona mtoto vile anakufa.