swc_luk_text_reg_Uncomplete/08/49.txt

1 line
259 B
Plaintext

\v 49 Pale Yesu eko nasema il, mutu wakutoka kwa mukubwa wa sinagogi akasema : «Mtoto mwana muke wako anakufa. Umu ache mwalimu aende yake.» \v 50 Lakini pale Yesu alisikia ile aka mwambiya baba yake : «Usi sikiye boka kuwa tu na imana, na mtoto atapona.»