swc_luk_text_reg_Uncomplete/08/38.txt

1 line
251 B
Plaintext

\v 38 Ule mutu ali toshewa ma demona akamu lomba Yesu ende naye. Lakini Yesu aka mu rudisha aseme. \v 39 Rudia mu jamaa yako na uka ba ambiye bitu bikubwa ibi mungu anakufanisha. Mutu aka enda akatangaza katika mugini yote bitu Yesu alifanya juu yake.