swc_luk_text_reg_Uncomplete/08/24.txt

1 line
384 B
Plaintext

\v 24 Banafunzi yake Yesu, bakafika na kumulamusha na kisema naye: «Bwana mukubwa, Bwana mukubwa, tuna kufwa» pale analamuka aka fokeya ile pepo na kulamuka kwa mawimbi na byote bika kuwa kimya kabisa. \v 25 Kisha aka sema na bo « Imani yenu iko wapi?» baka sikia boka na kushangala, na ku ambiana uyu kwa uyu: «Ni nani uyu, ana leta oda na pepo na mai bina musikia na ku acha?»