swc_luk_text_reg_Uncomplete/08/19.txt

1 line
293 B
Plaintext

\v 19 Kisha ile, mama yake na banduku yake ba kafika. Habakuweza ku mu ona juu yakinkundi kinene. \v 20 Mujumbe aka mwmbiya: «Mama yako na ba nduku yako beko inje, banapenda mu onane». \v 21 Yesu akabajibu: «Mama yangu na banduku yangu, ni bale beko na sikiya neno la Mungu na ku itumikia»