swc_luk_text_reg_Uncomplete/07/46.txt

1 line
306 B
Plaintext

\v 46 Haukunipakala mafuta kumikulu yangu, lakini yeye ana nipa kala mafuta kumikulu na mafuta ya beyi kali. \v 47 Kwa sababu yake, nakwambiya kama alikuwa na zambi mingi sasa ivi yote inasemahewa kwa sababou ana onesha upendo wake kubwa, lakini kwa ule mwenye kuwa na upendo kidogo na ana samehewa kidogo.