swc_luk_text_reg_Uncomplete/07/39.txt

1 line
354 B
Plaintext

\v 39 Na ule farisayo aliye mwalika Yesu, wakati alipaona ivi akasema ndani ya roho yake, kama mutu uyu angeli kuwa kuwa nabii, kama anzeli tambuwa hari ya mwanamuke uy kama ni nani ao ni mkutu wa haina gani anaye mugusa, kwa sababu ni mwenye kujazwa zambi \v 40 .Yesu aka jibu na kumwambya Simoni niko naneno ya kukwambiya akasema « Sema tu mwalimu.»