swc_luk_text_reg_Uncomplete/07/36.txt

1 line
570 B
Plaintext

\v 36 Mutu moja waba farisayo aliomba Yesu bende ba kakule pamoja naye, kisha Yesu kuingiya ndani ya nyumba ya farisayo akaikala kumeza kwa ajili ya kula, \v 37 angaliya kulikuwa mwanamuke moja wa zambi ndani ya muji ule,aka juwa kama Yesu ikondani ya nyumba ya ya nyumba ya farisayo aka ingiya ndani na chapa yake mafuta ya beyi. \v 38 Aka sibama nyuma ya Yesu pembeni ya mikulu yake, akaliya sana na machozi yake ika mwangika ku mikulu ya Yesu kama vile mayikisha aka anza kupnguza ayo na nyewele yake kisha akabeba mafuta ya beyi kamli aka mupakala Yesu ku mikalu.