swc_luk_text_reg_Uncomplete/07/09.txt

1 line
292 B
Plaintext

\v 9 Wakati alisikiya na sema ivi aka shangaa sana, akageuka na kuhangalia batu yote balikuwa na mufwata, akisema, hata katika israeli bado siya ona mutu mwenye kuwa na imani mukubwa sawa huyu. \v 10 Nakisha bazee bale balitumiwa, bakarudya na baka kuta mutumishi ule kuwa mugonjwa ana pona.