swc_luk_text_reg_Uncomplete/07/06.txt

1 line
577 B
Plaintext

\v 6 na Yesu akaenda nabo njiya moja, na wakati balifika karibu na nyumba, mukubwa waba askari ule alibatuma akakuya tena na Yesu akisema: « Bwana usi jichoshe na kutembeya kwa ajili ya kufika kwangu, kwasababu sina mwenye haki, juu weye uingiye ndani ya nyumba yangu. \v 7 Nikwa sababu ya hiyo njooatami, mwenyewe, sikuweza kuya kwako, lakini na mutumishi wangu atapona. \v 8 Kwa sababu na miye vile vile niko naba askari chini ulizi wangu, nikisema na moya kuya na ana kuya nikisema na mwzngine kwenda naye anaenda na nikasema na mutumishi wangu fanya ivi na anafanya vile.