swc_luk_text_reg_Uncomplete/06/22.txt

1 line
231 B
Plaintext

\v 22 Munabarikiwa ninyi benye batabachukia, kubatupa tubatukona kama bapagano ju ya Mutoto wa Mutu. \v 23 Mufurahi kwa ile siku namuruke na furha, kwasabu malipo iko mbinguni, kwa maana ba baba yabo balifanya vile vile na banabii.