swc_luk_text_reg_Uncomplete/06/17.txt

1 line
464 B
Plaintext

\v 17 Kisha Yesu alitemuka pamoja nabo kutoka mulima na kusimama fasi tambanane. Kikundi kabambi ya banafunzi balikuwa pale, pamoja na kikundi kabambi ya batu kutoka uya hudi na Yerusalemu, na kumusitoka pwani ya Tirona sidoni. \v 18 Balikuya musikiya na kuponyeshwa na magonjwa yabo. Batu balikuwa banateswa na mapepo chafu balipona pia. \v 19 Kila moja kwenye ali kikundi alikuwanatafuta kumusa, kwa sababu nguvu enye ilikuwa natoka mwake na kubaponyesha wote.