swc_luk_text_reg_Uncomplete/06/09.txt

1 line
342 B
Plaintext

\v 9 Yesu akabaambia,«Nabaliuza ninyi, inaruhisiwa siku ya sabato kufanya mazuli au kufanya madahara, kuponyesha maisha au kuipoteza?» Kisha akabaagalia bote na akamwambia ule mutu, \v 10 « Nyolisha mukono wako.» Akanyolosha mukono na akapona. \v 11 Lakini baliyazwa na hasina, bakaseme sana bao banyewe kuhusu nini ya kufanya na Yesu.