swc_luk_text_reg_Uncomplete/06/01.txt

1 line
272 B
Plaintext

\c 6 \v 1 Kwa kuwa Yesu alikuwanapita siku ya sabata ku mashamba ya nafaka, nan banafunzi wake balikuwanacima masake na kuiyasuguasugua kati ya mikono na kuikula. \v 2 Bamoja ya bafarisayo bakasema: «Jya nini munafefanya biti enye inakataliwa na sheria siku ya sabata?»