swc_luk_text_reg_Uncomplete/05/25.txt

1 line
239 B
Plaintext

\v 25 Na pale pale, mutu akasimama mbele yako, na kubeba kirago yake naka ingiya kwake ku nyumba na kutuza Mungu. \v 26 Bate ba likwa na shangala na kumutuza Mungu, baliyala na boga, balikwa na sema: "tuna ona leo bitu bikushangazua sana".