swc_luk_text_reg_Uncomplete/05/18.txt

1 line
345 B
Plaintext

\v 18 Kisha batu bakafika bana beba kila ko mutu ndani mwenye alikwa na ugodja ya kupoza, balikwa na tafuta ku muingiza na ku mutia mbele yake. \v 19 Gisi abakuwa kwa na djuwa wapi ndjo bamuingiziye dju ya bikundi ya batu, bali banda djuu ya nyumba na ku mushusha ule mutu chini kupitia vigae, juu kilago yake katikati ya makutano mnele ya Yesu.