swc_luk_text_reg_Uncomplete/05/04.txt

1 line
465 B
Plaintext

\v 4 4 \v Wakati alimaliza kusema, akambiya Simoni: "sogeya ku mayi ya mingina utu pemakila dju makila dju ulobe samati" \v 5 Simoni akajibiya: "Mwalimu, tu na tumika busiku muzima bila kupita kitu. Lakini dju ya sauti yako, niko nantupa makila". \v 6 Balifanya na kukamata samaki ya mingi, mpaka na makila yabo ilipasuka. \v 7 Bakaenda kuita benzabo bamashwa ingine ba kuye kubasaidiya, balikuyta na baliyaza mashua yote mbili mapka nagisi ba kanza kuzama mu mayi.