swc_luk_text_reg_Uncomplete/04/40.txt

1 line
339 B
Plaintext

\v 40 Wa kati ya mangaribi, batu baka muleteya Yesu bagonjwa ya kila namuna na Yesu aka weka mikonon yulu yabo na bote bakapona . \v 41 Na mapepo muchafu ikatoka ndani ya bengine bangonjwa na pepo ika anza kulala mika " uko mutoto wa mungu " Yesu aka ikemeya mapepo na akupenda tena iseme kwa sababu mapepo ili juwa kama yeyeni Kristu.