swc_luk_text_reg_Uncomplete/04/35.txt

1 line
410 B
Plaintext

\v 35 Yesa aka ikemeya pepo na kusema nyamaza kimwa , na toka ndani ya mutu uyu napepo i;ka mutupa ule mutu chini kati ya batu na ikatoka bila kumu umiza wa shida lolote. \v 36 Batu bote bakashangaa nabaka anza kusemaya ma ajabu ile kila mutu na mwenzake bakisema iyi ni mambo gani? Ana amuru pepo muchafu kwa utukufu na pepo mbaya inatoka? \v 37 Na ivi abari ya Yesu alitembeya majimbo yote ya kando kando.