swc_luk_text_reg_Uncomplete/04/20.txt

1 line
353 B
Plaintext

\v 20 Na kisha aka funga kitabu na aka murudishaya kuhani wa sinagogi . \v 21 Akanza kuzungu muza nabo akisema , leo makandiko iyi ina timilika kwa kila mutuana isikiya \v 22 .Na kila mutu aka suhudiya wakati bali musikiya eko nasema na ba ka shangaa sana sauti ya uwezo yenye ilitoka ndani ya linywa kyake na bakisema uyu njoo mtoto wa Yesfu ao apana.