swc_luk_text_reg_Uncomplete/04/16.txt

1 line
263 B
Plaintext

\v 16 Siku moya akaenda Nazareti mugini wenye alikomaliya, kama ili kuwa desturiyake aka ingiya ndaniya sinagogi siku ya sabato, aka sibama akanza kusoma mahandiko. \v 17 Bakamupa kitabu kya na bii Isaya aka fungula buku, na akaona fasi moya yenge kwandikiwa ivi.