swc_luk_text_reg_Uncomplete/01/72.txt

1 line
325 B
Plaintext

\v 72 Arionesha uruma wake wake kwa baba yetu, nakuku mbuka agano ta katifu. \v 73 Kufuatana na kiyapo kile ari mulaka baba yetu abahamu na anatutimizia. \v 74 Kisha kututosha mu mikono ya ba dui zetu, inapashwa ku mogopa na kumuomba. \v 75 Ndani ya utakatifu na uhaki wa maisha yetu yote kuwatazanua siku yote ya maisha yao.