swc_luk_text_reg_Uncomplete/01/42.txt

1 line
353 B
Plaintext

\v 42 Na akasema kwa sauti ya nguvu: « Umebarikiwa katika bana muke bote, na ibarikiwe tunda la tumbo yako. \v 43 Ma neno hiyi watokea wapi, mama wa Bwana wangu anaku ja kwangu. \v 44 Na kisha ku masalimiya na kushikiya sauti ilifika kwa Maria na mtoto alitenga ndani ya ntumbo yake. \v 45 Heri kwa yule ona amini, kwa kupokeya ile Bwana arisha kusema.