swc_luk_text_reg_Uncomplete/01/30.txt

1 line
375 B
Plaintext

\v 30 Na malaika akamwambia: « Ushiongope, Maria sababu unapata neema mbele ya Mungu. \v 31 Tazama utapata mimba na utazala mtoto mwana ume bata muyita Yesu. \v 32 Na atakuya mukubwa, bata muita mwana wa Mungu wa juu mbinguni. Na Bwana Mungu ata mupa kiti kambo yake Daudi. \v 33 Na atwala mashiku kwa mashiku mu nyumba ya Yakobo na hamuta kuya tena mwisho ya ufalme wake».