swc_luk_text_reg_Uncomplete/01/21.txt

1 line
331 B
Plaintext

\v 21 Nabale batu barimu chunga Zakaria na barianza kushanga wakati aribakia saa mulefu ndani ya nyumba takatifu. \v 22 Na wakati aritoka, asikusema tena, nabaritambua kusema aripata maonyo ndani ya nyumba takatifu. Na arianza kusumburia nabo paka kubilole tu. \v 23 Na wakati irieneya ya kazi ku malizika aritaka na arienda kwake.