swc_luk_text_reg_Uncomplete/01/18.txt

1 line
405 B
Plaintext

\v 18 Zakaria akamwambiya malaika: «Mimi tayi fahamu maneno hii mufano kani, kwa sababu minesha kuya mzee?». \v 19 Malaika akamijibu: « Niko Gabriele, ule anashimama mbele ya Mungu. Na minu barinituma ju nikuone na nikupashe habari njema. \v 20 Tazama, hautasema tena, utakuya bubu paka siku ile maneno hiyi itafanyika, kwa sababu hau kuamini sauti ya ma sauti yangu, nayo ya talimiza kwa wa kati yake.